VIONGOZI TFF WAFANYA ZIARA TBL GROUP


msi1
Rais wa shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF) Jamal Malinzi (wa pili kulia ) Katibu Mkuu  shirikisho hilo,  Mwesigwa Selestine (kushoto) na Mjumbe wa Kamati ya TFF Richard Sinamtwa (katikati) wakimsikiliza kwa makini Mkurugenzi Mkuu wa TBL Group Roberto Jarrin (Kulia ) wakati walipofanya ziara ya kikazi ofisini kwake Masaki  jijini Dar es Salaam.
msi2
msi3
Mkurugenzi Mkuu wa TBL GROUP  Roberto Jarrin (wapili kushoto)  Rais wa shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF) Jamal Malinzi (wa pili kutoka kulia) Katibu Mkuu  shirikisho hilo , Mwesigwa Selestine  (kulia) na Mjumbe wa Kamati ya TFF, Richard Sinamtwa (kushoto )wakiwa kwenye picha ya pamoja  wakati walipotembelea katika ofisi za TBL Masaki  jijini Dar es Salaam
msi4
Mkurugenzi Mkuu wa TBL GROUP  Roberto Jarrin (katikati akisalimiana na Mjumbe wa Kamati ya TFF, Richard Sinamtwa ,  Kulia ni Rais wa shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF) Jamal Malinzi

Ziara hiyo imeelezwa kuwa ina lengo la kudumisha uhusiano miongoni mwa taasisi hizo mbili hususani katika kuendeleza mchezo wa soka nchini.
SHARE

Unknown

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment

0 comments:

Post a Comment