Rais wa shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF) Jamal Malinzi (wa pili kulia ) Katibu Mkuu shirikisho hilo, Mwesigwa Selestine (kushoto) na Mjumbe wa Kamati ya TFF Richard Sinamtwa (katikati) wakimsikiliza kwa makini Mkurugenzi Mkuu wa TBL Group Roberto Jarrin (Kulia ) wakati walipofanya ziara ya kikazi ofisini kwake Masaki jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mkuu wa TBL GROUP Roberto Jarrin (wapili kushoto) Rais wa shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF) Jamal Malinzi (wa pili kutoka kulia) Katibu Mkuu shirikisho hilo , Mwesigwa Selestine (kulia) na Mjumbe wa Kamati ya TFF, Richard Sinamtwa (kushoto )wakiwa kwenye picha ya pamoja wakati walipotembelea katika ofisi za TBL Masaki jijini Dar es Salaam
Mkurugenzi Mkuu wa TBL GROUP Roberto Jarrin (katikati akisalimiana na Mjumbe wa Kamati ya TFF, Richard Sinamtwa , Kulia ni Rais wa shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF) Jamal Malinzi
Ziara hiyo imeelezwa kuwa ina lengo la kudumisha uhusiano miongoni mwa taasisi hizo mbili hususani katika kuendeleza mchezo wa soka nchini.
0 comments:
Post a Comment